-
Esta 8:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Basi waandishi+ wa mfalme wakaitwa wakati huo katika mwezi wa tatu, yaani, mwezi wa Sivani, siku ya 23 ya mwezi huo; na Wayahudi na maliwali+ na magavana na wakuu wa wilaya za utawala ambazo zilikuwa kutoka India mpaka Ethiopia, wilaya za utawala 127,+ wakaandikiwa kulingana na yote ambayo Mordekai aliamuru. Kila wilaya ya utawala kwa mtindo wao wa kuandika+ na kila kikundi cha watu kwa lugha+ yao, na Wayahudi kwa mtindo wao wa kuandika na kwa lugha+ yao.
-