Ezra 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kisha sheria+ za mfalme tukawapa maliwali+ na magavana+ wa mfalme walio ng’ambo ya Mto,+ nao wakawasaidia watu+ na nyumba ya Mungu wa kweli. Esta 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na wakuu wote+ wa wilaya za utawala na maliwali+ na magavana na watendaji wa kazi+ za mfalme walikuwa wakiwasaidia Wayahudi, kwa maana walikuwa wameshikwa na hofu+ kwa sababu ya Mordekai. Danieli 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ilionekana vema kwa Dario, naye akaweka maliwali 120 juu ya ufalme, ili wawe juu ya ufalme wote;+
36 Kisha sheria+ za mfalme tukawapa maliwali+ na magavana+ wa mfalme walio ng’ambo ya Mto,+ nao wakawasaidia watu+ na nyumba ya Mungu wa kweli.
3 Na wakuu wote+ wa wilaya za utawala na maliwali+ na magavana na watendaji wa kazi+ za mfalme walikuwa wakiwasaidia Wayahudi, kwa maana walikuwa wameshikwa na hofu+ kwa sababu ya Mordekai.