7 Nami nikaendelea kumwambia mfalme: “Ikiwa inaonekana vema kwa mfalme, na nipewe barua+ kwa magavana+ walio ng’ambo ya Mto,+ ili waniruhusu nipite mpaka nifike Yuda;
7 Nao Melatia Mgibeoni+ na Yadoni Mmeronothi,+ wakafanya kazi ya kurekebisha kando yao, watu wa Gibeoni+ na Mispa,+ walio wa kiti cha gavana+ ng’ambo ya Mto.+