4 ‘Nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni. Nami nitaupa uzao wako nchi zote hizi;+ na kupitia uzao wako mataifa yote ya dunia yatajibariki,’+
25 Nanyi mtamtumikia Yehova Mungu wenu,+ naye hakika ataubariki mkate wako na maji yako;+ nami kwa kweli nitageuzia mbali ugonjwa kutoka katikati yako.+