23 Walipofika kwenye bonde la mto la Eshkoli,+ wakakata chipukizi lenye kishada kimoja cha zabibu.+ Na wawili kati ya wanaume hao wakalichukua kwa ufito, na pia baadhi ya makomamanga+ na baadhi ya tini.
26 Basi wakatembea na kuja kwa Musa na Haruni na kusanyiko lote la wana wa Israeli katika nyika ya Parani, huko Kadeshi.+ Nao wakaleta neno kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya nchi.