Kumbukumbu la Torati 30:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana amri hii ninayokuamuru leo si ngumu mno kwako, wala haiko mbali.+ Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+