Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Siku saba mtakula keki zisizo na chachu. Ndiyo, siku ya kwanza mtaondoa unga uliokandwa wenye chachu kutoka katika nyumba zenu, kwa sababu mtu yeyote anayekula kitu kilicho na chachu, kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya saba,+ nafsi hiyo itakatiliwa mbali kutoka katika Israeli.+

  • Mambo ya Walawi 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Na katika siku ya kumi na tano ya mwezi huu ni sherehe kwa Yehova ya keki zisizo na chachu.+ Kwa siku saba mtakula keki zisizo na chachu.+

  • Hesabu 28:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na siku ya kumi na tano ya mwezi huu itakuwa sherehe. Keki zisizo na chachu zitaliwa kwa siku saba.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usile chochote chenye chachu pamoja nayo kwa siku saba.+ Utakula pamoja nayo keki zisizo na chachu, mkate wa mateso, kwa sababu ulitoka katika nchi ya Misri kwa haraka,+ ili ukumbuke siku ya kutoka kwako katika nchi ya Misri siku zote za maisha yako.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hivyo wana wa Israeli waliokuwa Yerusalemu wakafanya sherehe+ ya keki zisizo na chachu kwa siku saba kwa shangwe kubwa;+ na Walawi+ na makuhani+ walikuwa wakimtolea Yehova sifa siku baada ya siku kwa vyombo vyenye sauti kubwa, naam, kwa Yehova.+

  • 1 Wakorintho 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa hiyo na tufanye sherehe,+ si kwa chachu+ ya zamani, wala si kwa chachu+ ya ubaya na uovu,+ bali kwa keki zisizo na chachu za unyoofu na kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki