2 Mambo ya Nyakati 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ kwa siku saba, wakiwa na shangwe nyingi,+ na Walawi na makuhani walikuwa wakimsifu Yehova siku baada ya siku, wakimpigia Yehova ala zao kwa sauti kubwa.+
21 Kwa hiyo Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu+ kwa siku saba, wakiwa na shangwe nyingi,+ na Walawi na makuhani walikuwa wakimsifu Yehova siku baada ya siku, wakimpigia Yehova ala zao kwa sauti kubwa.+