5 Badala yake, mtafuteni Yehova Mungu wenu mahali popote atakapochagua kuweka jina lake na mahali atakapokaa miongoni mwa makabila yote, mwende mahali hapo.+
7 Ni lazima ninyi na familia zenu mle hapo mbele za Yehova Mungu wenu+ na kushangilia katika kazi zenu zote,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu amewabariki.
10 Akawaambia: “Nendeni mkale vitu bora* na kunywa vitu vitamu, na muwapelekee mafungu ya vyakula+ wale ambao hawana chochote; kwa maana hii ni siku takatifu kwa Bwana wetu, nanyi msihuzunike, kwa maana shangwe ya Yehova ndiyo ngome* yenu.”