-
2 Mambo ya Nyakati 35:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Kisha wakaitayarisha kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, wazao wa Haruni, walikuwa wakitoa dhabihu za kuteketezwa na vipande vyenye mafuta mpaka giza lilipoingia, kwa hiyo Walawi wakaitayarisha kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wazao wa Haruni.
-