14 Na baadaye wakafanya matayarisho kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani,+ kwa sababu makuhani wana wa Haruni walikuwa wakitoa dhabihu za kuteketezwa+ na vipande vyenye mafuta+ mpaka usiku, Walawi nao wakafanya matayarisho+ kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wana wa Haruni.