19 na kwa ajili ya wana wa Haruni,+ makuhani, katika mashamba ya viwanja+ vya malisho vya majiji yao. Katika majiji yote mbalimbali kulikuwa na watu waliowekwa kulingana na majina yao, ili kumpa mafungu kila mwanamume kati ya makuhani na kwa uandikisho wote wa kiukoo kati ya Walawi.