Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Kisha yule ng’ombe-dume mchanga atachinjwa mbele za Yehova; na wana wa Haruni, makuhani,+ wataitoa damu na kuinyunyiza damu hiyo kwenye madhabahu kuizunguka pande zote,+ madhabahu iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo wakawachinja+ wale ng’ombe na makuhani wakapokea damu+ na kuinyunyiza+ juu ya madhabahu; kisha wakawachinja wale kondoo-dume+ na kuinyunyiza damu+ juu ya madhabahu, nao wakawachinja wana-kondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakaendelea kusimama+ mahali pao kulingana na kanuni yao, kulingana na sheria ya Musa yule mtu wa Mungu wa kweli, makuhani+ wakinyunyiza damu iliyopokewa kutoka mkononi mwa Walawi.

  • Waebrania 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye alilinyunyizia lile hema+ na vyombo vyote vya utumishi wa watu wote vivyo hivyo kwa damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki