2 Mambo ya Nyakati 30:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao wakasimama katika nafasi zao za kawaida, kulingana na Sheria ya Musa, mtu wa Mungu wa kweli; kisha makuhani wakanyunyiza damu+ waliyokabidhiwa na Walawi.
16 Nao wakasimama katika nafasi zao za kawaida, kulingana na Sheria ya Musa, mtu wa Mungu wa kweli; kisha makuhani wakanyunyiza damu+ waliyokabidhiwa na Walawi.