9 Na kutoka katika dhabihu ya ushirika atatoa mafuta yake kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+ Mkia wote wenye mafuta+ ndio atakaoutoa karibu na uti wa mgongo, na mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
14 Na kutokana naye atatoa toleo lake, kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, mafuta yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+