22 “Nawe utachukua kutoka kwa kondoo-dume huyo mafuta na ule mkia mnono+ na yale mafuta yanayofunika matumbo, na kipasho cha ini, na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, na mguu wa kuume,+ kwa maana huyo ni kondoo wa kuweka rasmi;+
19 Navyo vile vipande vyenye mafuta+ vya yule ng’ombe-dume na ule mkia mnono+ wa yule kondoo-dume na yale mafuta yanayofunika na zile figo na kile kipasho cha ini,