2 Mambo ya Nyakati 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha wakatayarisha dhabihu za kuteketezwa ili kuwagawia watu wasio Walawi, ambao walikuwa wamepangwa kulingana na koo zao,* ili zitolewe kwa Yehova kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa; wakafanya vivyo hivyo kwa wale ng’ombe.
12 Kisha wakatayarisha dhabihu za kuteketezwa ili kuwagawia watu wasio Walawi, ambao walikuwa wamepangwa kulingana na koo zao,* ili zitolewe kwa Yehova kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Musa; wakafanya vivyo hivyo kwa wale ng’ombe.