1 Mambo ya Nyakati 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Yahathi akawa kichwa, Ziza wa pili. Nao Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo wakawa nyumba moja ya ukoo wa upande wa baba+ kwa ajili ya tabaka moja rasmi. 1 Mambo ya Nyakati 24:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na wana wa Mushi walikuwa Mali+ na Ederi na Yerimothi.+ Hao ndio waliokuwa wana wa Walawi kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao.
11 Naye Yahathi akawa kichwa, Ziza wa pili. Nao Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo wakawa nyumba moja ya ukoo wa upande wa baba+ kwa ajili ya tabaka moja rasmi.
30 Na wana wa Mushi walikuwa Mali+ na Ederi na Yerimothi.+ Hao ndio waliokuwa wana wa Walawi kulingana na nyumba za ukoo wa upande wa baba+ zao.