Mambo ya Walawi 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova. Hesabu 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Na katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi huo, itakuwa pasaka ya Yehova.+
5 Katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na nne ya mwezi huo,+ katikati ya zile jioni mbili ni pasaka+ kwa Yehova.