Mambo ya Walawi 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova. Mambo ya Walawi 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na kuhani atavifukiza+ kwenye madhabahu kama chakula,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto. Mambo ya Walawi 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+
5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.
11 Na kuhani atavifukiza+ kwenye madhabahu kama chakula,+ toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.
16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+