Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tena Yehoyada akavitia vyeo vya nyumba ya Yehova mkononi mwa makuhani na Walawi, ambao Daudi+ alikuwa amewaweka katika migawanyo juu ya nyumba ya Yehova ili watoe dhabihu za kuteketezwa za Yehova kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria ya Musa,+ kwa kushangilia pamoja na nyimbo kwa mikono ya Daudi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Hezekia akaweka migawanyo+ ya makuhani na ya Walawi+ katika migawanyo yao, kila mmoja kulingana na utumishi wake kwa ajili ya makuhani+ na kwa ajili ya Walawi+ kuhusiana na toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ ili kuhudumu+ na kutoa shukrani+ na sifa+ katika malango ya kambi za Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki