-
2 Mambo ya Nyakati 23:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Tena Yehoyada akavitia vyeo vya nyumba ya Yehova mkononi mwa makuhani na Walawi, ambao Daudi+ alikuwa amewaweka katika migawanyo juu ya nyumba ya Yehova ili watoe dhabihu za kuteketezwa za Yehova kulingana na yale ambayo yameandikwa katika sheria ya Musa,+ kwa kushangilia pamoja na nyimbo kwa mikono ya Daudi.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 31:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Kisha Hezekia akaweka migawanyo+ ya makuhani na ya Walawi+ katika migawanyo yao, kila mmoja kulingana na utumishi wake kwa ajili ya makuhani+ na kwa ajili ya Walawi+ kuhusiana na toleo la kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ ili kuhudumu+ na kutoa shukrani+ na sifa+ katika malango ya kambi za Yehova.
-