Kutoka 29:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Na hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu hiyo: wana-kondoo dume kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku daima.+ Hesabu 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe waangalifu na kunitolea toleo langu, mkate wangu,+ kwa ajili ya matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto yakiwa harufu ya kunituliza,+ kwenye nyakati zake zilizowekwa.’+
38 “Na hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu hiyo: wana-kondoo dume kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku daima.+
2 “Waamuru wana wa Israeli, nawe utawaambia, ‘Muwe waangalifu na kunitolea toleo langu, mkate wangu,+ kwa ajili ya matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto yakiwa harufu ya kunituliza,+ kwenye nyakati zake zilizowekwa.’+