-
2 Mambo ya Nyakati 23:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kisha Yehoyada akaweka usimamizi wa nyumba ya Yehova mikononi mwa makuhani na Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga katika vikundi wahudumu katika nyumba ya Yehova na kutoa dhabihu za kuteketezwa za Yehova+ kulingana na yale yaliyoandikwa katika Sheria ya Musa,+ wakishangilia na kuimba, kama alivyoagiza* Daudi.
-