Kutoka 29:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Hivi ndivyo vitu utakavyotoa kwenye madhabahu: kila siku, kwa kuendelea,+ utatoa wanakondoo dume wawili wenye umri wa mwaka mmoja. Hesabu 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waamuru hivi Waisraeli: ‘Hakikisheni kwamba mnanitolea toleo langu, chakula changu.* Ni lazima mnitolee kwa wakati uliowekwa dhabihu zangu zinazoteketezwa zenye harufu inayonipendeza.’*+
38 “Hivi ndivyo vitu utakavyotoa kwenye madhabahu: kila siku, kwa kuendelea,+ utatoa wanakondoo dume wawili wenye umri wa mwaka mmoja.
2 “Waamuru hivi Waisraeli: ‘Hakikisheni kwamba mnanitolea toleo langu, chakula changu.* Ni lazima mnitolee kwa wakati uliowekwa dhabihu zangu zinazoteketezwa zenye harufu inayonipendeza.’*+