Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Alifuata utaratibu wa kila siku kwa kutoa dhabihu kulingana na amri ya Musa iliyohusu Sabato,+ miezi mipya,+ na sherehe zilizoamriwa mara tatu kwa mwaka+—Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda.*+

  • Nehemia 10:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Pia, tukajiwekea wajibu kwamba kila mmoja wetu atoe sehemu ya tatu ya shekeli* kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya* Mungu wetu,+ 33 kwa ajili ya mkate wa tabaka,*+ toleo la nafaka la kila siku,+ dhabihu za kawaida za kuteketezwa za Sabato+ na miezi mipya,+ na kwa ajili ya sherehe rasmi,+ kwa ajili ya vitu vitakatifu, kwa ajili ya dhabihu za dhambi+ ili kufunika dhambi za Waisraeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki