2 Mambo ya Nyakati 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na msimame+ mahali patakatifu kulingana na vikundi vya nyumba ya mababu kwa ajili ya ndugu zenu, wana wa watu, na fungu la nyumba ya ukoo wa upande wa baba+ ya Walawi.+ 1 Wakorintho 14:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa adabu na kwa mpango.+
5 Na msimame+ mahali patakatifu kulingana na vikundi vya nyumba ya mababu kwa ajili ya ndugu zenu, wana wa watu, na fungu la nyumba ya ukoo wa upande wa baba+ ya Walawi.+