2 Mambo ya Nyakati 35:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakawachinja wanyama wa Pasaka,+ na makuhani wakanyunyiza damu waliyopokea kutoka kwao,+ huku Walawi wakiwachuna ngozi wanyama hao.+
11 Wakawachinja wanyama wa Pasaka,+ na makuhani wakanyunyiza damu waliyopokea kutoka kwao,+ huku Walawi wakiwachuna ngozi wanyama hao.+