2 Mambo ya Nyakati 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo utumishi wote wa Yehova ukatayarishwa siku hiyo ili kuadhimisha Pasaka+ na kutoa dhabihu za kuteketezwa kwenye madhabahu ya Yehova, kulingana na agizo la Mfalme Yosia.+
16 Kwa hiyo utumishi wote wa Yehova ukatayarishwa siku hiyo ili kuadhimisha Pasaka+ na kutoa dhabihu za kuteketezwa kwenye madhabahu ya Yehova, kulingana na agizo la Mfalme Yosia.+