26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+
24 na, baada ya kutoa shukrani, akaumega+ na kusema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao ni kwa ajili yenu. Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka+ mimi.”