Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+

  • Marko 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni, huu unamaanisha mwili wangu.”+

  • 1 Wakorintho 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na, baada ya kutoa shukrani, akaumega+ na kusema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao ni kwa ajili yenu. Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka+ mimi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki