Marko 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni, huu unamaanisha mwili wangu.”+ Luka 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia, akachukua mkate,+ akashukuru, akaumega, akawapa, akisema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao utatolewa kwa ajili yenu.+ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+
22 Na walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni, huu unamaanisha mwili wangu.”+
19 Pia, akachukua mkate,+ akashukuru, akaumega, akawapa, akisema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao utatolewa kwa ajili yenu.+ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+