Ufunuo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo, endelea kukazia akilini jinsi ulivyopokea+ na jinsi ulivyosikia, nawe uendelee kulishika,+ na utubu.+ Hakika usipoamka,+ nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua hata kidogo saa nitakayokuja juu yako.+
3 Kwa hiyo, endelea kukazia akilini jinsi ulivyopokea+ na jinsi ulivyosikia, nawe uendelee kulishika,+ na utubu.+ Hakika usipoamka,+ nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua hata kidogo saa nitakayokuja juu yako.+