Waefeso 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo yeye anasema: “Amka,+ Ee mwenye kulala usingizi, na ufufuke kutoka kwa wafu,+ na Kristo atakuangaza.”+ 1 Wathesalonike 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, basi, na tusiendelee kulala usingizi+ kama wengine,+ bali na tukae macho+ na kutunza akili zetu.+
14 Kwa hiyo yeye anasema: “Amka,+ Ee mwenye kulala usingizi, na ufufuke kutoka kwa wafu,+ na Kristo atakuangaza.”+
6 Kwa hiyo, basi, na tusiendelee kulala usingizi+ kama wengine,+ bali na tukae macho+ na kutunza akili zetu.+