12 Kwa hiyo Yesu akawaambia tena, akisema: “Mimi ndiye nuru+ ya ulimwengu. Yule anayenifuata hatatembea kamwe katika giza,+ bali atakuwa na nuru ya uzima.”
10 lakini sasa zimefanywa kuwa wazi kabisa kupitia ufunuo+ wa Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amefuta kifo+ lakini ameangaza nuru+ juu ya uzima+ na kutoweza kuharibika+ kupitia habari njema,+