-
Kwa Nini Tuadhimishe Mlo wa Jioni wa Bwana?Mnara wa Mlinzi—2003 | Februari 15
-
-
Ingawa Paulo hakuwa pamoja na Yesu na wale mitume 11 mwaka wa 33 W.K., ni wazi kwamba baadhi yao walimwambia mambo yaliyotukia usiku huo. Zaidi ya hayo, hapana shaka kwamba Mungu alimfunulia Paulo mambo yaliyotukia wakati huo. Paulo alisema hivi: “Nilipokea kutoka kwa Bwana kile nilichowapa nyinyi pia, kwamba Bwana Yesu katika usiku aliokuwa akielekea kukabidhiwa alitwaa mkate
-