1 Wakorintho 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+ 1 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mungu alimfufua Bwana+ na pia atatufufua sisi kutoka kwenye kifo+ kupitia nguvu zake.+
18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+