Waroma 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana Mungu, ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu kwa roho yangu kuhusiana na ile habari njema juu ya Mwana wake, ni shahidi+ wangu wa jinsi ninavyowataja sikuzote katika sala zangu bila kuacha,+ Wafilipi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 katika dua zangu zote kwa ajili yenu nyote,+ ninapoendelea kutoa dua yangu kwa shangwe, Wafilipi 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na hili ndilo ninaloendelea kusali, kwamba upendo wenu uwe mwingi+ hata zaidi na zaidi pamoja na ujuzi sahihi+ na utambuzi kamili;+ Wakolosai 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikuzote sisi humshukuru+ Mungu Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo tunaposali kwa ajili yenu,+ 1 Wathesalonike 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikuzote sisi humshukuru Mungu tunapowataja ninyi nyote katika sala zetu,+
9 Kwa maana Mungu, ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu kwa roho yangu kuhusiana na ile habari njema juu ya Mwana wake, ni shahidi+ wangu wa jinsi ninavyowataja sikuzote katika sala zangu bila kuacha,+
9 Na hili ndilo ninaloendelea kusali, kwamba upendo wenu uwe mwingi+ hata zaidi na zaidi pamoja na ujuzi sahihi+ na utambuzi kamili;+