Waefeso 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 siachi kutoa shukrani kwa ajili yenu. Naendelea kuwataja ninyi katika sala zangu,+ 2 Wathesalonike 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo sisi tunasali sikuzote kwa ajili yenu, ili Mungu wetu awahesabu ninyi kuwa mnastahili mwito+ wake na kufanya kwa ukamili yote anayopenda yaliyo ya wema na ile kazi ya imani pamoja na nguvu;
11 Kwa hiyo sisi tunasali sikuzote kwa ajili yenu, ili Mungu wetu awahesabu ninyi kuwa mnastahili mwito+ wake na kufanya kwa ukamili yote anayopenda yaliyo ya wema na ile kazi ya imani pamoja na nguvu;