30 Zaidi ya hayo, wale aliowaagiza kimbele+ hao ndio aliowaita+ pia; na wale aliowaita hao ndio aliowatangaza kuwa waadilifu+ pia. Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu hao ndio aliowatukuza pia.+
9 Yeye alituokoa+ na kutuita kwa mwito mtakatifu,+ si kwa sababu ya matendo+ yetu, bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na fadhili zisizostahiliwa. Tulipewa hizo kuhusiana na Kristo Yesu kabla ya nyakati za zamani za kale,+