1 Wakorintho 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nasema kana kwamba ni kwa watu wenye utambuzi;+ hukumuni ninyi wenyewe lile ninalosema. Waebrania 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+
14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu+ zimezoezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo makosa pia.+