Ayubu 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ikiwa nimeifanya dhahabu kuwa tumaini langu,Au nimeiambia dhahabu, ‘Wewe ni tegemeo langu!’+ Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+ 1 Timotheo 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+