Hesabu 15:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa sababu ni neno la Yehova ambalo amedharau+ na ni amri yake ambayo amevunja,+ nafsi hiyo lazima itakatiliwa mbali.+ Kosa lake mwenyewe liko juu yake.’”+ Kumbukumbu la Torati 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Israeli wote watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena jambo lolote kama jambo hilo baya kati yako.+ Kumbukumbu la Torati 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo wale wanaobaki watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena kamwe jambo baya kama hilo katikati yako.+
31 Kwa sababu ni neno la Yehova ambalo amedharau+ na ni amri yake ambayo amevunja,+ nafsi hiyo lazima itakatiliwa mbali.+ Kosa lake mwenyewe liko juu yake.’”+
11 Ndipo Israeli wote watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena jambo lolote kama jambo hilo baya kati yako.+
20 Kwa hiyo wale wanaobaki watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena kamwe jambo baya kama hilo katikati yako.+