Kumbukumbu la Torati 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao watu wote watasikia na kuogopa,+ nao hawatatenda kwa kimbelembele tena. Kumbukumbu la Torati 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo wale wanaobaki watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena kamwe jambo baya kama hilo katikati yako.+ 1 Timotheo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+ 1 Timotheo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+
20 Kwa hiyo wale wanaobaki watasikia na kuogopa, nao hawatafanya tena kamwe jambo baya kama hilo katikati yako.+
20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+
20 Watu walio na mazoea ya kutenda dhambi+ uwakaripie+ mbele ya watazamaji, ili wengine pia waogope.+