Wagalatia 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata hivyo, wakati hamkumjua Mungu,+ ndipo mlipoitumikia ile ambayo kwa asili si miungu.+ Waefeso 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+ Wakolosai 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, ninyi ambao hapo zamani mlikuwa mmetengwa,+ nanyi mlikuwa adui kwa sababu akili zenu zilikuwa zimekazwa juu ya matendo maovu,+
12 kwamba wakati huo mlikuwa bila Kristo,+ mlikuwa mmetengwa mbali+ na taifa la Israeli nanyi mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi,+ wala hamkuwa na tumaini+ na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+
21 Kwa kweli, ninyi ambao hapo zamani mlikuwa mmetengwa,+ nanyi mlikuwa adui kwa sababu akili zenu zilikuwa zimekazwa juu ya matendo maovu,+