Marko 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kusema: “Wakati uliowekwa umetimizwa,+ na ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni,+ na kuwa na imani katika habari njema.” Luka 24:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu,+ Matendo 2:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.
15 na kusema: “Wakati uliowekwa umetimizwa,+ na ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni,+ na kuwa na imani katika habari njema.”
47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+—kuanzia Yerusalemu,+
38 Petro akawaambia: “Tubuni,+ na acheni kila mmoja wenu abatizwe+ katika jina+ la Yesu Kristo kwa msamaha+ wa dhambi zenu, nanyi mtapokea zawadi ya bure+ ya roho takatifu.