26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+
“Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+
10 kwa ajili ya usimamizi+ wa mambo kwenye kikomo kamili cha nyakati+ zilizowekwa rasmi, yaani, kukusanya tena pamoja+ vitu vyote katika Kristo,+ vitu vilivyo mbinguni+ na vitu vilivyo duniani.+ Ndiyo, katika yeye,