Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

  • Wagalatia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini wakati kamili ulipofika,+ Mungu alimtuma Mwana wake,+ aliyezaliwa na mwanamke+ na aliyekuja kuwa chini ya sheria,+

  • Waefeso 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa ajili ya usimamizi+ wa mambo kwenye kikomo kamili cha nyakati+ zilizowekwa rasmi, yaani, kukusanya tena pamoja+ vitu vyote katika Kristo,+ vitu vilivyo mbinguni+ na vitu vilivyo duniani.+ Ndiyo, katika yeye,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki