28 Lakini vitu vyote vitakapokuwa vimetiishwa kwake,+ ndipo Mwana mwenyewe atakapojitiisha pia kwa Yeye+ aliyevitiisha vitu vyote kwake, ili Mungu awe vitu vyote kwa kila mtu.+
20 na kupitia yeye apatanishe+ tena kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani+ kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,+ hata kama ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.