Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+

      Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+

  • Zaburi 22:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana mbwa wamenizingira;+

      Kusanyiko la watenda-maovu limenizunguka.+

      Wako kwenye mikono yangu na miguu yangu kama simba.+

  • Zaburi 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wale ambao ni adui zangu bila sababu yoyote wasishangilie juu yangu;+

      Nao wale wanaonichukia bila sababu, wasikonyeze jicho.+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+

  • Isaya 53:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini alikuwa akichomwa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+ alikuwa akipondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Adhabu iliyokusudiwa kuleta amani yetu ilikuwa juu yake,+ na kwa sababu ya majeraha+ yake sisi tumeponywa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki