Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Manoa akaanza kumsihi Yehova, akisema: “Nakuomba radhi, Yehova.+ Tafadhali, yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ulimtuma na arudi kwetu tena, atufundishe+ yale tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”+

  • Waamuzi 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Mungu wa kweli akaisikiliza sauti ya Manoa,+ na yule malaika wa Mungu wa kweli akamjia tena yule mwanamke alipokuwa ameketi shambani, lakini Manoa mume wake hakuwa pamoja naye.

  • Waamuzi 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akajua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.+

  • Waebrania 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki