8 Na Manoa akaanza kumsihi Yehova, akisema: “Nakuomba radhi, Yehova.+ Tafadhali, yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ulimtuma na arudi kwetu tena, atufundishe+ yale tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”+
9 Basi Mungu wa kweli akaisikiliza sauti ya Manoa,+ na yule malaika wa Mungu wa kweli akamjia tena yule mwanamke alipokuwa ameketi shambani, lakini Manoa mume wake hakuwa pamoja naye.