Waamuzi 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+
22 Kwa hiyo Gideoni akatambua kwamba alikuwa ni malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema: “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimeona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+