Waamuzi 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema, “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimemwona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+
22 Ndipo Gideoni akatambua kwamba huyo alikuwa malaika wa Yehova.+ Mara moja Gideoni akasema, “Ole wangu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, kwa sababu nimemwona malaika wa Yehova uso kwa uso!”+